Breaking News
Loading...
Sunday, December 21, 2014

Huyu ndo Miss World 2014, Rolene Strauss kutoka South Africa


Baada ya kushinda taji la ulimbwede wa dunia, Rolene Straus amerejea kwao Afrika ya Kusini na kupokelewa kwa mbwembwe za kutosha. Kimsingi Rolene ameshinda taji hilo Jumapili iliyopita mjini london uingereza akiwashinda washiriki 120.

Mshiriki wetu wa bongo Bi. Happiness Watimanya ametuwakilisha vizuri ingawa bahati haikuwa ya kwake. Japo angalau Ameweza kuingia Top ten ya 'The People's Choice'. Afrika JUU!

0 comments :

Post a Comment

Back To Top